Category Archives: Habari

01 Apr
0

Mhe. Godbless Lema amnyooshe kidole Kapilimba Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa

Mhe. Godbless Lema amemtaka Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa kuacha kukitetea Chama cha Mapinduzi CCM na badala yake walinde usalama wa Nchi na Mali zake.

Soma zaidi
16 Mar
0

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA: TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 13/03/2018

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 13/03/2018   Ndugu wanahabari   Baada ya tafakuri ya kina kuhusu mwenendo wa hali ya kisiasa nchini na na kuona hatari kubwa inayoikabili nchi yetu, Baraza la ...

Soma zaidi
02 Mar
0

BAVICHA: RAIS MAGUFULI – NCHI YETU INAVIMBA!

BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) TAARIFA KWA UMMA RAIS MAGUFULI – NCHI YETU INAVIMBA! Ndugu waandishi wa Habari, Kwanza tunawashukuru kwa kuitikia wito wetu siku hii ya leo. BAVICHA tumewaomba kukutana nanyi hapa, ili kueleza kile ambacho kinaendelea katika ...

Soma zaidi
02 Mar
0

RAIS JOHN MAGUFULI AJITOKEZE HADHARANI KUZUNGUMZIA AIBU HII

BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) RAIS JOHN MAGUFULI AJITOKEZE HADHARANI KUZUNGUMZIA AIBU HII Ndugu wanahabari Mtakumbuka kuwa Chama kupitia uongozi wa juu, Ijumaa iliyopita, Agosti 21, mwaka huu kilitoa tamko kwa umma kupitia mkutano na waandishi wa habari kuhusu ...

Soma zaidi
02 Mar
0

KAULI YA BAVICHA KULAANI UDHALILISHAJI ULIOFANYWA NA SPIKA DHIDI YA MBUNGE WA KIBAMBA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA MHE. JOHN JOHN MNYIKA

BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) KAULI YA BAVICHA KULAANI UDHALILISHAJI ULIOFANYWA NA SPIKA DHIDI YA MBUNGE WA KIBAMBA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA MHE. JOHN JOHN MNYIKA Ndugu Waandishi wa Habari, Kwanza tunawashukuru kwa kuitikia wito wa BAVICHA ...

Soma zaidi
02 Mar
0

MSIMAMO WA BAVICHA JUU YA WANAFUNZI WA LIOSIMAMISHWA CHUO KIKUU CHA DODOMA

MSIMAMO WA BAVICHA JUU YA WANAFUNZI WA LIOSIMAMISHWA CHUO KIKUU CHA DODOMA UTANGULIZI: Ndugu Waandishi wa habari, Mwaka 2014 Serikali kupitia Waziri wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi  wa wakati huo, Dr. Shukuru Kawambwa ilitangaza kuanzishwa kwa Program ...

Soma zaidi
02 Mar
0

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA: TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 7/8/2016

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 7/8/2016 Ndugu wanahabari Awali ya yote, Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), tunapenda kuwashukuru kwa kuitikia wito wetu wa kukutana nanyi. Kupitia mkutano ...

Soma zaidi
01 Mar
0

Mbowe: Tulipata taarifa kuwa Mbunge Sugu na Emanuele Masonga watafungwa

Mwenyekiti CHADEMA Taifa Mhe. Freeman Mbowe ameeleza kuwa taarifa siku nne kabla ya Mbunge wa Mbeya Mjini na Katibu wa Kanda ya Nyasa kuhukumiwa miezi mitano na zoezi hilo limearitibwa na Usalama wa Taifa na Mkuuwa Mkoa wa Mbeya.

Soma zaidi
01 Mar
0

Video: Kabla Polisi Hawajatawanya Mkusanyiko Hutakiwa Kutoa Ilani Mara 3.

Serikali haiumii kwamba raia wake amepoteza maisha inawaza imetumia pesa nyingi kumgharimia mwanafunzi Akwilina kwamba alikuwa mnufaika wa mkopo, Sisi CHADEMA tunalaani mauaji ya mwanafunzi Akwilina mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT).Kwenye press hii anazungumza Mkurugenzi wa Mawasiliano,Itifaki ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI (KUB), MHESHIMIWA FREEMAN AIKAELI MBOWE (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018. Inatolewa chini ya Kanuni ya ...

Soma zaidi
789
Layout Settings