Author Archives: Remsi Kassanda

06 Mar
0

AZIMIO LA MTWARA

1. UTANGULIZI SISI WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) AMBAO MAJINA YETU YAMEAMBATANISHWA HAPA CHINI, tuliokutana hapa Mtwara kati ya tarehe 4 hadi 6 Machi, 2024, kwa niaba ya Wanachama, wafuasi wanaotuunga mkono na kwa ...

Soma zaidi
01 Mar
0

WITO WA DHARURA KUHUSU KITITA KIPYA CHA NHIF

BUNGE LA WANANCHI, KAMATI YA AFYA NA MAENDELEO YA JAMII WITO WA DHARURA KUHUSU KITITA KIPYA CHA NHIF NA HATUA ZA AWALI ZINAZOPASWA KUCHUKULIWA NA SERIKALI ILI KUNUSURU WANANCHI 1. Bunge la Wananchi limepokea kwa tahadhari kubwa taarifa za mgogoro ...

Soma zaidi
01 Mar
0

SALAMU ZA POLE NA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA HAYATI ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA TANZANIA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Hayati Mzee Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichotokea jana Februari 29, 2024 jijini Dar es salaam. ...

Soma zaidi
21 Jan
0

MHE. TUNDU LISSU ATANGAZA KUSHIRIKI MAANDAMANO YA AMANI.

Ndugu zangu Watanzania na wanaCHADEMA, Nawasalimu kwa upendo mkubwa kutoka Kodivari, Pwani ya Pembe au Cote d’Ivoire kama wanavyoita wenyewe. Nimekuwa huku tangu Disemba 28 iliyopita kwa ajili ya kuiunga mkono timu yetu ya Taifa ambayo, kama mnavyofahamu, iko hapa ...

Soma zaidi
15 Jan
0

MDAHALO BAINA YA CHADEMA NA CCM

MDAHALO BAINA YA CHADEMA NA CCM   Baada ya tamko la Mwenyekiti wa Chama Taifa Mheshimiwa Freeman  Aikaeli Mbowe kuhusu maazimio ya Kamati Kuu ya Chama kuitisha maandamano ya amani tarehe 24 Januari, 2024 Jijini Dar Es salaam, ameibuka  Katibu ...

Soma zaidi
13 Jan
0

MSIMAMO WA KAMATI KUU YA CHAMA KUHUSU MISWADA 3 YA SHERIA ILIYOWASILISHWA BUNGENI TAREHE 10 NOVEMBA, 2023

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)   MSIMAMO WA KAMATI KUU YA CHAMA KUHUSU MISWADA 3 YA SHERIA ILIYOWASILISHWA BUNGENI TAREHE 10 NOVEMBA, 2023   UTANGULIZI Kamati Kuu ya Chama iliketi kwenye kikao chake Cha dharura tarehe 8/01/2024 na ilikuwa ...

Soma zaidi
13 Jan
0

POSITION OF THE PARTY’S CENTRAL COMMITTEE ON THE 3 BILLS OF LAW PRESENTED TO PARLIAMENT ON NOVEMBER 10, 2023

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)   POSITION OF THE PARTY’S CENTRAL COMMITTEE ON THE 3 BILLS OF LAW PRESENTED TO PARLIAMENT ON NOVEMBER 10, 2023   INTRODUCTION The Central Committee of the Party convened in an emergency session on ...

Soma zaidi
24 Jul
0

TUNALAANI TUKIO LA KUPIGWA NA KUUMIZWA KWA WAANDISHI WA HABARI WA KAMPUNI YA MWANANCHI COMMUNICATIONS LTD.

Juzi siku ya Jumamosi tarehe 22 Julai, 2023 majira ya jioni katika viwanja vya Bulyaga Wilaya ya Temeke, Jijini Dar Es salaam ambako kulikuwa na maandalizi ya mkutano wa hadhara uliofanyka jana Jumapili tarehe 23 Julai, 2023 ambao umeandaliwa na ...

Soma zaidi
19 Jul
0

IDU YAITAKA TANZANIA KURUDISHA HARAKA MCHAKATO WA KATIBA MPYA

Baraza la Uongozi la Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Duniani (IDU) limeitaka Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kurudisha mara moja mchakato wa kuandikwa kwa Katiba Mpya pamoja na kufanya mabadiliko ya sheria na mifumo yote ya kitaasisi inayohusika na ...

Soma zaidi
Layout Settings