Kumekuwa na taarifa zinazosambaa katika njia mbalimbali za upashanaji habari mitandaoni na baadae kwenye vyombo vya habari tangu asubuhi ya leo kuhusu kile kinachoonekana kuwa ni sintofahamu kubwa inayoendelea katika Bunge la Afrika (PAP) ambako taarifa zimedai kuwa Rais wa ...
Soma zaidiCategory Archives: Teule
Home / Bungeni / Habari / Press Release / Teule /
BAADA YA HUKUMU YA MAHAKAMA KUU, MASUALA SABA YA MUHIMU; UCHAGUZI HURU NA HAKI NCHINI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA KUHUSU: BAADA YA HUKUMU YA MAHAKAMA KUU, MASUALA SABA YA MUHIMU; UCHAGUZI HURU NA HAKI NCHINI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepanua wigo wa mjadala wa uhitaji wa taasisi na mifumo itakayohakikisha ...
Soma zaidiChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kutoa taarifa ya kulaani na kupinga ukiukwaji wa Katiba, Sheria na Kanuni mbalimbali uliofanywa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bwana Gerson Msigwa tarehe 21 na 25 Mei, 2018 ambapo kwa kujua au kutojua ...
Soma zaidiTunautangazia umma kuhusu ratiba ya kuaga na mazishi ya Mbunge wa Buyungu Mhe.Kasuku Bilago ambaye pia alikuwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Chama Kanda ya Magharibi yenye Mikoa ya Kigoma,Katavi na Tabora. Kwa upande wa ...
Soma zaidiTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA UHURU WA HABARI NI DEMOKRASIA Wakati dunia ikiazimisha Siku ya Uhuru wa Habari Duniani, ambayo huadhimishwa tarehe 3 Mei ya kila mwaka, huku zikiwepo nchi ambazo zimeendelea kunufaika na matokeo ya kuimarisha uhuru ...
Soma zaidiRAIS MAGUFULI, SERIKALI YAKO IMECHAFUKA,CHUTAMA uweze KUJISITIRI!
Anaandika HALIMA MDEE (MB) : RAIS MAGUFULI, SERIKALI YAKO IMECHAFUKA,CHUTAMA uweze KUJISITIRI! NDUGU RAIS naona Trillion 1.5 imekutoa mafichoni, CAG ameivua nguo SERIKALI yako! CHUTAMA uweze kujisitiri !! USITISHE WATU! Nasema na wewe nikiwa nina kumbukumbu ya kukamatwa na vyombo ...
Soma zaidiBARAZA LA WAZEE WA CHADEMA: TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 13/03/2018
BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 13/03/2018 Ndugu wanahabari Baada ya tafakuri ya kina kuhusu mwenendo wa hali ya kisiasa nchini na na kuona hatari kubwa inayoikabili nchi yetu, Baraza la ...
Soma zaidiBARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) RAIS JOHN MAGUFULI AJITOKEZE HADHARANI KUZUNGUMZIA AIBU HII Ndugu wanahabari Mtakumbuka kuwa Chama kupitia uongozi wa juu, Ijumaa iliyopita, Agosti 21, mwaka huu kilitoa tamko kwa umma kupitia mkutano na waandishi wa habari kuhusu ...
Soma zaidiBARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) KAULI YA BAVICHA KULAANI UDHALILISHAJI ULIOFANYWA NA SPIKA DHIDI YA MBUNGE WA KIBAMBA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA MHE. JOHN JOHN MNYIKA Ndugu Waandishi wa Habari, Kwanza tunawashukuru kwa kuitikia wito wa BAVICHA ...
Soma zaidiBARAZA LA WAZEE WA CHADEMA: TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 7/8/2016
BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 7/8/2016 Ndugu wanahabari Awali ya yote, Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), tunapenda kuwashukuru kwa kuitikia wito wetu wa kukutana nanyi. Kupitia mkutano ...
Soma zaidiTafuta
Zilizozomwa zaidi
-
-
IDU YAITAKA TANZANIA KURUDISHA HARAKA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
by Remsi Kassanda July 19, 2023 8:18 am -
TAARIFA KWA UMMA
by Chadema Digital July 3, 2022 2:44 pm