Category Archives: Kona ya Mwenyekiti

02 Apr
0

MBOWE AWATAKIWA WAISLAMU WOTE RAMADHANI NJEMA

Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa Mhe. Freeman Mbowe amwetakia Waislamu wote Mfungo mwema wa Ramadhani. “Ndugu zetu Waislamu kwa niaba yangu na Chama, nichukue fursa hii kuwatakia Mfungo mwema wa Ramadhani. Allal awajalie yaliyo mema katika kufikia malengo mliyojiwekea, kwani yaliyo ...

Soma zaidi
01 Apr
0

Waraka Maalum wa Mh. Freeman Aikaeli Mbowe

Leo tarehe 22 Machi 2018, mimi na viongozi wenzangu waandamizi wa Chadema tumetakiwa tena kuripoti Polisi. Tunaokabiliwa na usumbufu huu ni pamoja na: Mhe Vincent Mashinji (Katibu Mkuu), Mhe. John John Mnyika, Mb na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mhe. Salum Mwalimu, Naibu Katibu ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI (KUB), MHESHIMIWA FREEMAN AIKAELI MBOWE (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018. Inatolewa chini ya Kanuni ya ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MSIMAMO WA VYAMA VYA CUF, NCCR -MAGEUZI,CHAUMMA NA CHADEMA- KUHUSU KUSHIRIKI UCHAGUZI MDOGO WA MARUDIO WA TAR 13-01-2018 .

UTANGULIZI Serikali ya awamu ya tano imeonyesha wazi kuwa haiko tayari kufuata Katiba na Sheria za nchi katika utendaji wake wa kazi na imejipambanua wazi kuwa haiheshimu Demokrasia na Haki za Binadamu zimeendelea kuvunjwa na hakuna hatua zozote zinazoonekana kuchukuliwa ...

Soma zaidi
01 Jan
0

Hotuba za Wasemaji Wakuu Bungeni – Bajeti 2016-17

HOTUBA ZA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI WAKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI   KUHUSU HALI YA UCHUMI WA TAIFA, MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA NA MAKADIRIO YA MAPATO NA  MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA ...

Soma zaidi
Layout Settings