Category Archives: Habari Matukio

11 Apr
0

MBOWE AKUTANA NA BALOZI WA MAREKANI

Leo Jumatatu Aprili 11, 2022 Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa Mhe. Freeman Mbowe amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi Donald J. Wright kwenye Makazi rasmi ya Balozi, Oysterbay Dar es Salaam, Wamejadiliana kwa kina umuhimu wa kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia ...

Soma zaidi
03 Sep
0

Mh Lissu Mkoani Tabora

1. Msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu, aliyeambatana na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, ukiingia na kupokelewa katika Uwanja wa Chipukizi, mjini ...

Soma zaidi
29 Aug
1

Mh Lissu akipita maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo kuelekea Mkutanoni.

Picha zikionesha msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Antiphas Lissu, alipokuwa akipita maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kutokea nyumbani kwake Tegeta kuelekea Uwanja wa Tanganyika Parkers kwenye ...

Soma zaidi
28 Aug
1

Chadema yazindua Kampeni Uwanja wa Zakhiem, Mbagala, jijini Dar es Salaam

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tundu Antiphas Lissu akihutubia mkutano wa uzinduzi wa kampeni Ijumaa, Agosti 28, 2020, katika Uwanja wa Zakhiem, Mbagala, jijini Dar es Salaam. . #Mbagala #NiYeye2020 #TunduLissu2020

Soma zaidi
11 Aug
0

Mhe. Tundu Lissu azungumza na Wananchi wa Jimbo Shinyanga mjini

Mgombea Urais wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akizungumza na Wananchi wa Jimbo Shinyanga mjini waliofika kwa ajili ya kumdhamini. #NiYeye2020 #SasaBasi #PeoplesPower

Soma zaidi
11 Aug
0

Mh. Lissu – Mji wa Shelui, Jimbo la Iramba.

Soma zaidi
10 Aug
0

Mhe. Tundu Lissu pamoja na Mgombea Mwenza, Mhe. Salum Juma Mwalim Singida Leo

  . . .

Soma zaidi
01 May
0

TAARIFA KWA UMMA

TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) kimeendelea kupokea kwa masikitiko makubwa misiba ya Wabunge na Watanzania wengine inayosababishwa na kusambaa kwa maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19. Kama ambavyo tumeshauri mara kadhaa, ni dhahiri hatua za ziada za ...

Soma zaidi
01 May
0

MTAZAMO NA TAARIFA KWA UMMA KUHUSU JANGA LA CORONA NA ATHARI KWA TAIFA

1.0 Utangulizi: COVID 19 (Corona Virus Disease of 2019) ni ugonjwa usio na tiba unaoitesa dunia kitabibu, kiuchumi, kijamii na hata kisiasa. Ni mlipuko wa ugonjwa unaosambaa kwa kasi na unaoua binadamu bila kujali mipaka ya nchi, rangi ya binadamu, ...

Soma zaidi
14 Apr
0

TAARIFA YA WAZIRI KIVULI WA AFYA

TAARIFA YA WAZIRI KIVULI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UGONJWAWA COVID-19 NCHINI

Soma zaidi
123
Layout Settings