Leo tarehe 22 Machi 2018, mimi na viongozi wenzangu waandamizi wa Chadema tumetakiwa tena kuripoti Polisi. Tunaokabiliwa na usumbufu huu ni pamoja na: Mhe Vincent Mashinji (Katibu Mkuu), Mhe. John John Mnyika, Mb na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mhe. Salum Mwalimu, Naibu Katibu ...
Soma zaidiAuthor Archives:
Mwenyekiti wa Baraza la Wanake Chadema Mhe. Halima James Mdee akiangalia kazi za mikono zinazofanywa na akina mama wajasiriamali wadogo wadogo siku ya maazimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo BAWACHA wailiazimisha kitaifa Jijini Mbeya. Akiongea na akina mama mbalimbali waliojitokeza ...
Soma zaidiCHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAMKO LA KULAANI KAULI AU MAPENDEKEZO YA MZEE ALI HASSAN MWINYI YA KUTAKA KUVUNJWA KWA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ndugu waandishi wa habari. Sisi, Baraza la ...
Soma zaidiCHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA ) BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA HOTUBA YA BARAZA LA WAZEE KUPITIA VYOMBO VYA HABARI SIKU YA WAZEE DUNIANI 1/10/2017 Ndugu wanahabari Tunashkuru kwa fursa hii nyingine ya kukutana na kuzungumza na Watanzania kupitia ...
Soma zaidi