Author Archives: Chadema Media

01 Mar
0

GHARAMA ZA MATENDO YA RAIS MAGUFULI ZIMEANZA KUFICHUKA: BOMBARDIER IMEKAMATWA CANADA!!!

UTANGULIZI Leo ni takriban mwaka mmoja na robo tatu tangu John Pombe Magufuli ale kiapo cha kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mengi yametokea katika kipindi hiki cha karibu miaka miwili. Rais Magufuli amepiga marufuku shughuli ...

Soma zaidi
01 Mar
0

TAMKO: ANALYSIS AND RECOMMENDATIONS ON THE PROPOSED POLITICAL PARTIES BILL, 2017 . OCTOBER, 2017

The proposed bill limits the functions and scope of political parties. At the same time, the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977 stipulates in its preamble that: “We, the people of the United Republic of Tanzania, have firmly ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MSIMAMO WA VYAMA VYA CUF, NCCR -MAGEUZI,CHAUMMA NA CHADEMA- KUHUSU KUSHIRIKI UCHAGUZI MDOGO WA MARUDIO WA TAR 13-01-2018 .

UTANGULIZI Serikali ya awamu ya tano imeonyesha wazi kuwa haiko tayari kufuata Katiba na Sheria za nchi katika utendaji wake wa kazi na imejipambanua wazi kuwa haiheshimu Demokrasia na Haki za Binadamu zimeendelea kuvunjwa na hakuna hatua zozote zinazoonekana kuchukuliwa ...

Soma zaidi
01 Mar
0

Tusikubali Mhimili Wa Bunge Na Serikali Kuingilia Mahakama

Tangu demokrasia ya kale Katika nchi ambazo zinatumia misingi ya kisheria ni wazi kuwa kunakuwepo na vyombo vya aina tatu kwa ajili ya kugawana madaraka ili kuweza kuleta ufanisi na utendaji wa utoaji haki kwa wananchi wake yaani Bunge, Mahakama ...

Soma zaidi
01 Mar
0

Somo Nililojifunza Kutokana na Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa Mwaka 2017

Ndugu Mhariri, naomba kupata nafasi ili kuweza kuyaweka maoni yangu binafsi juu ya mambo ambayo niliweza kujifunza kutokana na uchaguzi Mkuu wa Kenya uliomalizika hivi karibuni . Kenya ni nchi ambayo inakadiriwa kuwa na watu takribani milioni 48 na kati ...

Soma zaidi
01 Mar
0

Sauti kutoka nje ya Bunge

Ndugu Mhariri , Ninaomba nafasi kwenye gazeti lako ili nami ambaye sauti yangu inatoka nje ya Bunge iweze kusikika na hasa baada ya ‘sauti kutoka Bungeni’ kusikika kupitia kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anaitwa Owen Mwandubya ambaye ni mkuu wa kitengo ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MAJUKUMU YA WAKURUGENZI WA HALIMASHAURI-JE WALIOTEULIWA WANA WELEDI NA UWEZO WA KUYAMUDU

MAJUKUMU YA WAKURUGENZI WA HALIMASHAURI-JE WALIOTEULIWA WANA WELEDI NA UWEZO WA KUYAMUDU ? Kutokana na uteuzi uliofanywa na Rais wa kuteua Wakurugenzi wa Halimashauri za Miji, Wilaya, Manispaa na Majiji kwa mujibu wa Katiba yetu, na kwa kuwa kwenye jamii ...

Soma zaidi
19 Feb
0

Taarifa ya awali kwa umma, kuhusu mwenendo wa uchaguzi wa marudio.

Baada ya upigaji kura katika uchaguzi wa marudio uliofanyika Februari 17, 2018 kumalizika huku ukigubikwa na vitendo viovu vya kihalifu dhidi ya demokrasia na uchaguzi wenyewe, mathalani …

Soma zaidi
19 Feb
0

Chadema yasema haitambui matokeo Siha, Kinondoni

Dar es Salaam. Chadema imesema haitambui matokeo ya uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika katika majimbo ya Siha na Kinondoni jana Februari 17,2018. Chama hicho katika taarifa iliyotolewa jana usiku hata kabla ya matokeo kutangazwa, kimesema yamepatikana kinyume cha Katiba ya ...

Soma zaidi
19 Feb
0

Mgombea Chadema Salum Mwalimu akamatwa na Polisi Magomeni

Dar es Salaam. Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Kinondoni, Salum Mwalimu amekamatwa muda huu na polisi katika kituo cha kupigia kura cha Idrisa kata ya Magomeni. Muda mfupi uliopita baadhi ya wananchi wa kata hiyo wamedai kuwa katika kituo ...

Soma zaidi
789
Layout Settings