Category Archives: Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje

04 Jun
0

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kutoa taarifa ya kulaani na kupinga ukiukwaji wa Katiba, Sheria na Kanuni mbalimbali uliofanywa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bwana Gerson Msigwa tarehe 21 na 25 Mei, 2018 ambapo kwa kujua au kutojua ...

Soma zaidi
27 May
0

TANZIA: RATIBA YA KUAGA NA MAZIKO YA MHE.KASUKU BILAGO MBUNGE WA JIMBO LA BUYUNGU, MKOA WA KIGOMA

Tunautangazia umma kuhusu ratiba ya kuaga na mazishi ya Mbunge wa Buyungu Mhe.Kasuku Bilago ambaye pia alikuwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Mwenyekiti wa Chama Kanda ya Magharibi yenye Mikoa ya Kigoma,Katavi na Tabora. Kwa upande wa ...

Soma zaidi
19 Apr
0

TAMKO: Tunalaani kwa nguvu zote udhalilishaji huu unaofanywa dhidi yetu.

Baraza la Wazee Taifa la CHADEMA lilianza ziara ya kukutana na Wazee kwenye Vikao vya Ndani jana tarehe 16.04.2018 na walianzia Mkoa wa Morogoro.     Jambo la kusikitisha ni kuwa jana usiku Polisi walivamia walikokuwa wamelala Viongozi na kuwakamata baadhi yao ...

Soma zaidi
01 Mar
0

Tusikubali Mhimili Wa Bunge Na Serikali Kuingilia Mahakama

Tangu demokrasia ya kale Katika nchi ambazo zinatumia misingi ya kisheria ni wazi kuwa kunakuwepo na vyombo vya aina tatu kwa ajili ya kugawana madaraka ili kuweza kuleta ufanisi na utendaji wa utoaji haki kwa wananchi wake yaani Bunge, Mahakama ...

Soma zaidi
01 Mar
0

Somo Nililojifunza Kutokana na Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa Mwaka 2017

Ndugu Mhariri, naomba kupata nafasi ili kuweza kuyaweka maoni yangu binafsi juu ya mambo ambayo niliweza kujifunza kutokana na uchaguzi Mkuu wa Kenya uliomalizika hivi karibuni . Kenya ni nchi ambayo inakadiriwa kuwa na watu takribani milioni 48 na kati ...

Soma zaidi
01 Mar
0

Sauti kutoka nje ya Bunge

Ndugu Mhariri , Ninaomba nafasi kwenye gazeti lako ili nami ambaye sauti yangu inatoka nje ya Bunge iweze kusikika na hasa baada ya ‘sauti kutoka Bungeni’ kusikika kupitia kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anaitwa Owen Mwandubya ambaye ni mkuu wa kitengo ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MAJUKUMU YA WAKURUGENZI WA HALIMASHAURI-JE WALIOTEULIWA WANA WELEDI NA UWEZO WA KUYAMUDU

MAJUKUMU YA WAKURUGENZI WA HALIMASHAURI-JE WALIOTEULIWA WANA WELEDI NA UWEZO WA KUYAMUDU ? Kutokana na uteuzi uliofanywa na Rais wa kuteua Wakurugenzi wa Halimashauri za Miji, Wilaya, Manispaa na Majiji kwa mujibu wa Katiba yetu, na kwa kuwa kwenye jamii ...

Soma zaidi
Layout Settings