Baada ya upigaji kura katika uchaguzi wa marudio uliofanyika Februari 17, 2018 kumalizika huku ukigubikwa na vitendo viovu vya kihalifu dhidi ya demokrasia na uchaguzi wenyewe, mathalani …
Soma zaidiCategory Archives: Habari
Home / Habari / Kona ya Katibu Mkuu / Matamko / Press Release / Teule /
Chadema yasema haitambui matokeo Siha, Kinondoni
by Chadema Media
in Habari, Habari, Habari Picha, Habari, Teule
Dar es Salaam. Chadema imesema haitambui matokeo ya uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika katika majimbo ya Siha na Kinondoni jana Februari 17,2018. Chama hicho katika taarifa iliyotolewa jana usiku hata kabla ya matokeo kutangazwa, kimesema yamepatikana kinyume cha Katiba ya ...
Soma zaidiMgombea Chadema Salum Mwalimu akamatwa na Polisi Magomeni
by Chadema Media
in Habari, Habari, Habari Picha
Dar es Salaam. Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Kinondoni, Salum Mwalimu amekamatwa muda huu na polisi katika kituo cha kupigia kura cha Idrisa kata ya Magomeni. Muda mfupi uliopita baadhi ya wananchi wa kata hiyo wamedai kuwa katika kituo ...
Soma zaidiTafuta
Zilizozomwa zaidi
-
USAILI NA UTEUZI WA WAGOMBEA.
by Remsi Kassanda May 17, 2024 10:25 am -
AZIMIO LA MTWARA
by Remsi Kassanda March 6, 2024 8:02 pm -
WITO WA DHARURA KUHUSU KITITA KIPYA CHA NHIF
by Remsi Kassanda March 1, 2024 2:04 pm