Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Hayati Mzee Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichotokea jana Februari 29, 2024 jijini Dar es salaam. ...
Soma zaidiCategory Archives: Press Release
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, ameahidi kutompitisha mtu yeyote katika maumivu makali ya majeraha mithili ya yale aliyoyapitia yeye baada ya kunusurika shambulio lililolenga kukatisha ...
Soma zaidi