Ndugu zangu Watanzania na wanaCHADEMA, Nawasalimu kwa upendo mkubwa kutoka Kodivari, Pwani ya Pembe au Cote d’Ivoire kama wanavyoita wenyewe. Nimekuwa huku tangu Disemba 28 iliyopita kwa ajili ya kuiunga mkono timu yetu ya Taifa ambayo, kama mnavyofahamu, iko hapa ...
Soma zaidiCategory Archives: Habari
MSIMAMO WA KAMATI KUU YA CHAMA KUHUSU MISWADA 3 YA SHERIA ILIYOWASILISHWA BUNGENI TAREHE 10 NOVEMBA, 2023
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MSIMAMO WA KAMATI KUU YA CHAMA KUHUSU MISWADA 3 YA SHERIA ILIYOWASILISHWA BUNGENI TAREHE 10 NOVEMBA, 2023 UTANGULIZI Kamati Kuu ya Chama iliketi kwenye kikao chake Cha dharura tarehe 8/01/2024 na ilikuwa ...
Soma zaidiPOSITION OF THE PARTY’S CENTRAL COMMITTEE ON THE 3 BILLS OF LAW PRESENTED TO PARLIAMENT ON NOVEMBER 10, 2023
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) POSITION OF THE PARTY’S CENTRAL COMMITTEE ON THE 3 BILLS OF LAW PRESENTED TO PARLIAMENT ON NOVEMBER 10, 2023 INTRODUCTION The Central Committee of the Party convened in an emergency session on ...
Soma zaidiBaraza la Uongozi la Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Duniani (IDU) limeitaka Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kurudisha mara moja mchakato wa kuandikwa kwa Katiba Mpya pamoja na kufanya mabadiliko ya sheria na mifumo yote ya kitaasisi inayohusika na ...
Soma zaidiLeo Jumatatu Aprili 11, 2022 Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa Mhe. Freeman Mbowe amekutana na kufanya Mazungumzo na Balozi Donald J. Wright kwenye Makazi rasmi ya Balozi, Oysterbay Dar es Salaam, Wamejadiliana kwa kina umuhimu wa kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia ...
Soma zaidiMwenyekiti wa (CHADEMA) Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe leo Jumatano Machi 30, 2022 amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi. Kupitia kwao, ...
Soma zaidiMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Aikael Mbowe akiwa ameambatana na Mke wake Dkt. Lillian Mbowe wameweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Johari Mtei na Baba yake mdogo , marehemu Manase Mbowe, waliofariki akiwa ...
Soma zaidiMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mhe: Freeman Mbowe leo Jumatatu Machi 21, 2022 amemtembelea Muasisi wa Chama Mzee Edwin Mtei nyumbani kwake Tengeru, Arusha kumpa pole Kwa kufiwa na Mkewe wakati akiwa Gerezani.
Soma zaidi1. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu akihutubia Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni kwa Kanda za Unguja na Pemba, uliofanyika leo Septemba 7, 2020, katika Uwanja wa Kibandamaiti, Zanzibar. 2. Mgombea ...
Soma zaidiTafuta
Zilizozomwa zaidi
-
AZIMIO LA MTWARA
by Remsi Kassanda March 6, 2024 8:02 pm -
WITO WA DHARURA KUHUSU KITITA KIPYA CHA NHIF
by Remsi Kassanda March 1, 2024 2:04 pm -