Category Archives: Teule

01 Mar
0

Mbowe: Tulipata taarifa kuwa Mbunge Sugu na Emanuele Masonga watafungwa

Mwenyekiti CHADEMA Taifa Mhe. Freeman Mbowe ameeleza kuwa taarifa siku nne kabla ya Mbunge wa Mbeya Mjini na Katibu wa Kanda ya Nyasa kuhukumiwa miezi mitano na zoezi hilo limearitibwa na Usalama wa Taifa na Mkuuwa Mkoa wa Mbeya.

Soma zaidi
01 Mar
0

Video: Kabla Polisi Hawajatawanya Mkusanyiko Hutakiwa Kutoa Ilani Mara 3.

Serikali haiumii kwamba raia wake amepoteza maisha inawaza imetumia pesa nyingi kumgharimia mwanafunzi Akwilina kwamba alikuwa mnufaika wa mkopo, Sisi CHADEMA tunalaani mauaji ya mwanafunzi Akwilina mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT).Kwenye press hii anazungumza Mkurugenzi wa Mawasiliano,Itifaki ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI (KUB), MHESHIMIWA FREEMAN AIKAELI MBOWE (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018. Inatolewa chini ya Kanuni ya ...

Soma zaidi
01 Mar
0

TAARIFA YA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAARIFA YA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014 Upotevu wa shilingi trilioni 1.151 serikali kuu pekee hauvumiliki. Makusanyo yote yaliyotokana na kuongezeka kwa kodi 2013/14 yameyeyuka . Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea ...

Soma zaidi
01 Mar
0

HOJA YA KUMWONDOA MADARAKANI NAIBU SPIKA WA BUNGE, MHE. DKT. TULIA ACKSON MWANSASU (Mb)

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA HOJA YA KUMWONDOA MADARAKANI NAIBU SPIKA WA BUNGE, MHE.  DKT. TULIA ACKSON MWANSASU (Mb) Ndugu wanahabari, tumewaita hapa kuwaomba muwape taarifa Watanzania kuwa kwa niaba ya wabunge wenzangu nakwa mujibu wa kanuni ya ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA TAREHE 23-26 JULAI,2016

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA TAREHE 23-26 JULAI,2016 PRESS CONFERENCE YA TAREHE 27 JULAI,  2016 1.0 UTANGULIZI Kamati Kuu ya dharura ya Chama iliketi kuanzia tarehe 23-26 ...

Soma zaidi
01 Mar
0

TAARIFA FUPI KWA WABUNGE KUHUSU HALI YA TAIFA KWA KIPINDI CHA JULAI HADI OCTOBA 2016.

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) TAARIFA FUPI KWA WABUNGE KUHUSU HALI YA TAIFA KWA  KIPINDI CHA JULAI HADI OCTOBA 2016. UTANGULIZI. Tathimini hii imefanyika katika kipindi ambacho serikali ya awamu ya tano imeanza utekelezaji wa bajeti yake ya kwanza ...

Soma zaidi
01 Mar
0

GHARAMA ZA MATENDO YA RAIS MAGUFULI ZIMEANZA KUFICHUKA: BOMBARDIER IMEKAMATWA CANADA!!!

UTANGULIZI Leo ni takriban mwaka mmoja na robo tatu tangu John Pombe Magufuli ale kiapo cha kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mengi yametokea katika kipindi hiki cha karibu miaka miwili. Rais Magufuli amepiga marufuku shughuli ...

Soma zaidi
01 Mar
0

MSIMAMO WA VYAMA VYA CUF, NCCR -MAGEUZI,CHAUMMA NA CHADEMA- KUHUSU KUSHIRIKI UCHAGUZI MDOGO WA MARUDIO WA TAR 13-01-2018 .

UTANGULIZI Serikali ya awamu ya tano imeonyesha wazi kuwa haiko tayari kufuata Katiba na Sheria za nchi katika utendaji wake wa kazi na imejipambanua wazi kuwa haiheshimu Demokrasia na Haki za Binadamu zimeendelea kuvunjwa na hakuna hatua zozote zinazoonekana kuchukuliwa ...

Soma zaidi
19 Feb
0

Taarifa ya awali kwa umma, kuhusu mwenendo wa uchaguzi wa marudio.

Baada ya upigaji kura katika uchaguzi wa marudio uliofanyika Februari 17, 2018 kumalizika huku ukigubikwa na vitendo viovu vya kihalifu dhidi ya demokrasia na uchaguzi wenyewe, mathalani …

Soma zaidi
123
Layout Settings