29 Aug
1

Mh Lissu akipita maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo kuelekea Mkutanoni.

Picha zikionesha msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Antiphas Lissu, alipokuwa akipita maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kutokea nyumbani kwake Tegeta kuelekea Uwanja wa Tanganyika Parkers kwenye ...

Soma zaidi