28 Aug
1

Chadema yazindua Kampeni Uwanja wa Zakhiem, Mbagala, jijini Dar es Salaam

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tundu Antiphas Lissu akihutubia mkutano wa uzinduzi wa kampeni Ijumaa, Agosti 28, 2020, katika Uwanja wa Zakhiem, Mbagala, jijini Dar es Salaam. . #Mbagala #NiYeye2020 #TunduLissu2020

Soma zaidi