info@chadema.or.tz Daima Street, Mikocheni, Dar Es Salaam

No Reforms, No Elections

“Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi — Tunasimamia Demokrasia ya Kweli kwa Watanzania Wote!”

Changia
Changia Chama
Changia Chama

Changia Chama

Changia harakati za ukombozi wa kidemokrasia kwa maendeleo ya chama chetu. Kila mchango una maana, jitolee leo!

Jifunze Zaidi
Jisajili
Jisajili

Jisajili

Jiunge na harakati za mabadiliko. Jisaljili sasa upate taarifa na nafasi ya kushiriki shughuli za chama moja kwa moja.

Jifunze Zaidi
Pakua Chadema Digital
Pakua Chadema Digital

Pakua Chadema Digital

Pakua App rasmi ya Chadema upate habari, matukio na kushiriki harakati za kisiasa kwa urahisi.

Jifunze Zaidi

Pata habari za hivi punde na zilizothibitishwa

Habari Na Matukio

blog-img
23May, 2025
blog-img
22May, 2025
Tazama Zote

KARIBU CHADEMA

Karibu CHADEMA – Chama kinachopambania Uhuru, Haki, Demokrasia na Maendeleo ya watu.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha siasa chenye misingi ya demokrasia ya kweli na maendeleo jumuishi kwa wananchi wote wa Tanzania. Kilianzishwa tarehe 28 Mei, 1992 na kupatiwa cheti cha usajili wa kudumu tarehe 21 Januari 1993, kufuatia kuruhusiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini.

CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na kimejikita katika kupigania haki, usawa, utawala wa sheria, na maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi. Chama hiki kinatetea mfumo wa utawala wa majimbo wenye kutoa mamlaka zaidi kwa wananchi katika ngazi za chini, kwa lengo la kuharakisha maendeleo ya maeneo mbalimbali ya nchi kwa kuzingatia mahitaji na vipaumbele vyao.

Chadema kwa Takwimu

Takwimu Tangu 1992
shap
33
Miaka ya Uhai
shap
10
Wanachama (M)
shap
436
Viongozi Kupitia Chama

Matukio Yaliyopangwa

28.05.2025

Uzinduzi Wa Operesheni - No Reforms, No Elections

Uwanja Wa Relini , Arusha Mjini, Arusha

29.05.2025

Mkutano Wa Hadhara - Makamu Mwenyekiti Bara

Mererani, Simanjiro

29.05.2025

Mkutano Wa Hadhara - Mhe. Katibu Mkuu

Karatu, Arusha

Tazama Ratiba Yote
  • img
rescue man

DAWATI LA MSAADA

+255 744 446 969

Wasiliana Nasi
JIUNGE NA HARAKATI ZA MABADILIKO LEO!

UNGANA NA CHADEMA

Jiunge na maono yetu ya kuendeleza taifa juu

Kuwa sehemu ya harakati za kweli za demokrasia na maendeleo. Jiunge nasi leo na uwe sehemu ya mabadiliko.

Jiunge Nasi