Category Archives: Matamko

04 Jun
0

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kutoa taarifa ya kulaani na kupinga ukiukwaji wa Katiba, Sheria na Kanuni mbalimbali uliofanywa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bwana Gerson Msigwa tarehe 21 na 25 Mei, 2018 ambapo kwa kujua au kutojua ...

Soma zaidi
16 Mar
0

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA: TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 13/03/2018

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 13/03/2018   Ndugu wanahabari   Baada ya tafakuri ya kina kuhusu mwenendo wa hali ya kisiasa nchini na na kuona hatari kubwa inayoikabili nchi yetu, Baraza la ...

Soma zaidi
02 Mar
0

BAVICHA: RAIS MAGUFULI – NCHI YETU INAVIMBA!

BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) TAARIFA KWA UMMA RAIS MAGUFULI – NCHI YETU INAVIMBA! Ndugu waandishi wa Habari, Kwanza tunawashukuru kwa kuitikia wito wetu siku hii ya leo. BAVICHA tumewaomba kukutana nanyi hapa, ili kueleza kile ambacho kinaendelea katika ...

Soma zaidi
02 Mar
0

RAIS JOHN MAGUFULI AJITOKEZE HADHARANI KUZUNGUMZIA AIBU HII

BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) RAIS JOHN MAGUFULI AJITOKEZE HADHARANI KUZUNGUMZIA AIBU HII Ndugu wanahabari Mtakumbuka kuwa Chama kupitia uongozi wa juu, Ijumaa iliyopita, Agosti 21, mwaka huu kilitoa tamko kwa umma kupitia mkutano na waandishi wa habari kuhusu ...

Soma zaidi
02 Mar
0

KAULI YA BAVICHA KULAANI UDHALILISHAJI ULIOFANYWA NA SPIKA DHIDI YA MBUNGE WA KIBAMBA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA MHE. JOHN JOHN MNYIKA

BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA (BAVICHA) KAULI YA BAVICHA KULAANI UDHALILISHAJI ULIOFANYWA NA SPIKA DHIDI YA MBUNGE WA KIBAMBA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CHAMA MHE. JOHN JOHN MNYIKA Ndugu Waandishi wa Habari, Kwanza tunawashukuru kwa kuitikia wito wa BAVICHA ...

Soma zaidi
02 Mar
0

MSIMAMO WA BAVICHA JUU YA WANAFUNZI WA LIOSIMAMISHWA CHUO KIKUU CHA DODOMA

MSIMAMO WA BAVICHA JUU YA WANAFUNZI WA LIOSIMAMISHWA CHUO KIKUU CHA DODOMA UTANGULIZI: Ndugu Waandishi wa habari, Mwaka 2014 Serikali kupitia Waziri wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi  wa wakati huo, Dr. Shukuru Kawambwa ilitangaza kuanzishwa kwa Program ...

Soma zaidi
02 Mar
0

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA: TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 7/8/2016

BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAARIFA ILIYOSOMWA MBELE YA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 7/8/2016 Ndugu wanahabari Awali ya yote, Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), tunapenda kuwashukuru kwa kuitikia wito wetu wa kukutana nanyi. Kupitia mkutano ...

Soma zaidi
02 Mar
0

TAMKO LA KULAANI KAULI AU MAPENDEKEZO YA MZEE ALI HASSAN MWINYI YA KUTAKA KUVUNJWA KWA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA TAMKO LA KULAANI KAULI AU MAPENDEKEZO YA MZEE ALI HASSAN MWINYI YA KUTAKA KUVUNJWA KWA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ndugu waandishi wa habari. Sisi, Baraza la ...

Soma zaidi
02 Mar
0

HOTUBA YA BARAZA LA WAZEE KUPITIA VYOMBO VYA HABARI SIKU YA WAZEE DUNIANI 1/10/2017

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA ) BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA HOTUBA YA BARAZA LA WAZEE KUPITIA VYOMBO VYA HABARI SIKU YA WAZEE DUNIANI 1/10/2017 Ndugu wanahabari Tunashkuru kwa fursa hii nyingine ya kukutana na kuzungumza na Watanzania kupitia ...

Soma zaidi
01 Mar
0

TAARIFA YA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAARIFA YA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014 Upotevu wa shilingi trilioni 1.151 serikali kuu pekee hauvumiliki. Makusanyo yote yaliyotokana na kuongezeka kwa kodi 2013/14 yameyeyuka . Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea ...

Soma zaidi
123
Layout Settings