Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) limesikitishwa kuendelea kushikiliwa kwa Mratibu wa Uhamasishaji Bavicha Taifa Ndugu Twaha Mwaipaya na Jeshi la Polisi. Twaha Mwaipaya alikamatwa Juni 30, 2022 na Jeshi la Polisi Morogoro mjini, ambao kesho yake ya Julai Mosi, ...
Soma zaidiAuthor Archives:


Maafisa wa (CHADEMA) watinga Bungeni kuwasilisha hukumu iliyotolewa na Mahakama dhidi ya Wabunge 19 wasio na Chama waliofukuzwa CHADEMA kwa utovu wa nidhamu. Maafisa wa Chadema kutoka kushoto ni Aron Mashuve na kulia ni Evance Luvinga wakiwa nje ya viunga ...
Soma zaidi
Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa BAWACHA Mhe. Sharifa Suleiman pamoja na viongozi wa Baraza hilo Mkoa wa Kigoma leo Juni 21, 2022 wamealikwa kwenye Madrasaya kina Mama jimbo la Kigoma Mjini Kata ya Gungu na kulakiwa na Mwenyekiti ...
Soma zaidi
Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa Mhe. Freeman Mbowe amwetakia Waislamu wote Mfungo mwema wa Ramadhani. “Ndugu zetu Waislamu kwa niaba yangu na Chama, nichukue fursa hii kuwatakia Mfungo mwema wa Ramadhani. Allal awajalie yaliyo mema katika kufikia malengo mliyojiwekea, kwani yaliyo ...
Soma zaidi