Mgombea Urais wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwa ameambatana na Mgombea mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na Wananchi wa Wilaya Ya Tarime waliofika kwa ajili ya kumdhamini. #SasaBasi #PeoplesPower
#NoHateNoFear

 

Share Button