Watanzania wanataka mabadiliko. Wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM..
.
Home / Habari Picha / Uchaguzi Mkuu 2020 / Mhe Lissu na Mhe Mwalim awakizungumza na Wananchi wa Tarime/Bunda /Mara/Musoma
Mgombea Urais wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwa ameambatana na Mgombea mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na Wananchi wa Wilaya Ya Tarime waliofika kwa ajili ya kumdhamini. #SasaBasi #PeoplesPower #NoHateNoFear